Gari lenye namba za usajiri T 857 BAR, likiwa limening’inia juu ya mti katika daraja la bonde la Kawe lililopo Mbezi kwa Komba jijini Dar es Salaam mwaka 2010 jana. Haikuweza kufahamika chanzo cha ajali ya gari hilo, kwa mujibu wa walioshuhudia ajali hiyo walieleza kuwa ajali hiyo ilitokea saa tisa usiku.
TAZAMA HAPA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA LEO APRIL 23, 2018
-
Kuelekea siku ya tarehe 29 Aprili, 2018 katika dimba la Taifa Dar es
salaam, msimamo wa ligi kuu Tanzania bara unaonesha Simba imeitangulia
Yanga wa point...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment