Vijana siku hizi wamejitahidi kubuni mbinu mbadala wa kufanya biashara kama kijana huyu Fundi Saa anavyoonekana pichani akikatiza mitaa ya Sinza akiwa na bango lake linalotangaza kazi yake huku akitafuta wateja kama alivyonaswa na kamera ya Mafoto Blog.
DILUNGA AIPELEKA MTIBWA SUGAR FAINALI KOMBE LA TFF, APIGA ZOTE MBILI STAND UNITED YAFA 2-0
-
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
TIMU ya Mtibwa Sugar imefanikiwa kuingia Fainali ya Kombe la Shirikisho la
Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Fe...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment